Siku ya leo tarehe 8 Disemba 2022 Mkurugenzi Mtendaji  Ndugu Solomon I. Shati, watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Tarime na wananchi  wa sirari kwa pamoja wameshiriki zoezi la kufanya usafi katika mji wa Sirari maeneo ya soko, ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania Bara.

Kauli Mbiu: MIAKA 61 YA UHURU AMANI NA UMOJA NI NGUZO YA MAENDELEO YETU


 

Comments

Popular posts from this blog

Mkuu wa Mkoa wa Mara Awapongeza Halmashauri ya Wilaya ya Tarime