MKUU WA WILAYA YA TARIME AONGONZA KUFANYA USAFI KUADHIMISHA MIAKA 61 YA UHURU WA TANZANIA BARA

Mkuu wa Wilaya ya Tarime Mheshimiwa Col. Michael Mntenjele leo amewaongoza viongozi na wananchi katika kufanya usafi katika mji wa Sirari maeneo ya soko, ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania Bara.

Kauli Mbiu: MIAKA 61 YA UHURU AMANI NA UMOJA NI NGUZO YA MAENDELEO YETU


 

Comments

Popular posts from this blog

Mkuu wa Mkoa wa Mara Awapongeza Halmashauri ya Wilaya ya Tarime